Jengo la JMC likiwaka moto.
Chanzo cha moto huo na mali zilizoteketea mpaka sasa bado havijafahamika.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick alifika eneo la tukio na kuagiza wamiliki wa majengo kuweka vyombo vya kutambua hitilafu mbalimbali kwenye majengo yao.
No comments:
Post a Comment