Mchambia Line Akiwa na Mdoli George Poggy Wakiwa na Mbwa begani kwa ajili ya kushangia Chama La MIGOMBANI FC ambayo walikuwa wanacheza na NATIONAL kutoka maeneo ya Mwani Halisi Ambapo Pambano hilo liliisha kwa MIGOMBANI FC kuibuka na ushindi wa Goli moja kwa Mtungi na kusababisha vurugu iliyopelekea mpaka Ugomvi kutokea na kusababisha uhalibifu wa mali na majeraha makubwa kwa waliopatwa na kipigo.
No comments:
Post a Comment